Wapenzi wasomaji wa safu hii ya blogsport napenda niombe radhi kwa kpindi kikubwa nilipo kuwa kmya ,kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wangu .nitumie nafasi hii kuwa karibisha tena na tena kwani nimejibanga kikamilifu kuwaleteeni matukio malimbali na simulizi mbalimbali zenye kujenga na kusisimua , pia utaweza kuona picha mbalimbali katika matukio mbalimbali,
lakini pia unapata nafasi ya kuweza kunitumia maoni yako na mchango wako ili tuweze kwenda sambamba
KARIBUNI SANAAA! BY AGNES MHAGAMA JOURNALIST
No comments:
Post a Comment