Wednesday, May 20, 2020

MUNGU ASIKIA MAOMBI YA WATANZANIA JUU YA COVID 19

Rais Magufuli akiwa safarini kutokea Chato  alisimama mkoani Singida kuwasalimia wananchi na kuzungumza machache yakiwemo kuhusu kutakuwa na siku tatu za kumshukuru Mungu kwa Maajabu ya kutuepusha na Corona.

No comments:

Post a Comment